ɭɭ BUGA

ɭɭ BUGA ◥◣◢✇◣╭◎╮◢✇◣◢◤
◎▤◈Lets use sences🤗▤◎
◢◤◥✇◤╰◎╯◥✇◤◥◣
It's only God🤣🤣
█◣◢█░◢▀◣░█◣█░█▀░◥◣█
█◥◤█░█░█░█◥█░██░░◥█
█░░█░◥▄◤░█░█░█▄░░▄█

Name challenge 😊
09/09/2026

Name challenge 😊

🤔🙆Sasa Last week my wife  alienda kuwasalimia wazazi wake nikabaki peke yangu alafu sasa kuna huyu mtoto wa jirani yangu...
08/09/2026

🤔🙆Sasa Last week my wife alienda kuwasalimia wazazi wake nikabaki peke yangu alafu sasa kuna huyu mtoto wa jirani yangu hupenda kuniita uncle💞.Jana mamake aliniitia supper kwake ilivyokawaida.Mimi naye ni nani nikajua bwanake ashaenda kazini nikaenda moja kwa moja hadi kwake👊.Nikaingia kwa nyumba k**a kawaida nikapata mrembo ameshaniwekea chakula nikanawa nikaanza kula hiyo chakula kabla sijamaliza kighafla babake yule mtoi aliingia kwake💔.Hii ni kitu ambayo haijawahi fanyika kamwe🙆.
Kimwanaume mimi nikajijaza nikakula hiyo food nik**aliza nikanawa mikono ili niweze kuenda kwangu.
Kusimama tu hivi yule mtoto aliniuliza
'Uncle kwani leo hulali Uku k**a ulivyolala jana mama akifanya ouch ouch nilifurahi💔'

To cut this story short wish me a Quick Recovery niko huku Kenyatta National Hospital (KNH)
At least leo ninapumua kidogo
🥺💔

😂😂Hata Huyu WA 2010 ameanza kusema mapenzi ni sccum🌵🙂‍↔️🥺🥵💔  kitanda ukitandika sharti ukilalie #001
02/09/2026

😂😂Hata Huyu WA 2010 ameanza kusema mapenzi ni sccum🌵🙂‍↔️🥺🥵💔

kitanda ukitandika sharti ukilalie

#001

02/09/2026

Tag Rafiki Yako Muwishie Happy New Month Asikie vizuri 🤗🤗

Wewe umewahi ona Nahodha😂😂😂001 👌
02/09/2026

Wewe umewahi ona Nahodha😂😂😂

001 👌

02/09/2026

life is too short!

Nowadays we die young 😭

Nani ashawahi pata pesa kwa hizi boxes tunaambiwa tufungue kwa redio?🥹😅
02/09/2026

Nani ashawahi pata pesa kwa hizi boxes tunaambiwa tufungue kwa redio?🥹😅

Imagine this car belongs to you and you saw this goat doing this, what will you do....As for me, you know I love goat me...
30/08/2026

Imagine this car belongs to you and you saw this goat doing this, what will you do....

As for me, you know I love goat meat very well and I have new yam so pepper soup will be ready 😄🤣🤣🤣
And a very sweet goat ooo 😂

"sipendiujinga mimi"🤣🤣1.jana, nilikutana na jama fulaniakaniulizambona nimekunja uso. ,nikamjibu,natakakuiweka kwa bag. ...
30/08/2026

"sipendi
ujinga mimi"🤣🤣

1.jana, nilikutana na jama fulani
akaniuliza
mbona nimekunja uso. ,nikamjibu,
nataka
kuiweka kwa bag. sababu mi sipendi
ujinga.

2.juzi neighbor yangu alikuja
akaniambia
nipunguze sauti ya radio anataka
kulala.jana
akipika chapoo na mimi nkamwambia
apunguze
harufu ya chapati nataka kula ugali.
saa hii tuko
kwa landlord tunaongea hio maneno. ju
sipendi
ujinga

3.ushawahi katia mrembo sana mpaka
anakushow uende kwao kufika akuna mtu
unapata pia yeye hayuko......kumbe
huyo
mrembo hapendi ujinga

4.sasa polisi anatusimamisha eti juu
number
plate ya nyuma na ya mbele haifanani,
alafu
beshteangu anamuuliza k**a uso yake
na
matacore inafanana.......mi imebidi
nicheke sai
tuko central ndo napatiana simu, so
nitakua
mteja kiasi .hata polisi kumbe
hawatakangi
ujinga.

5.ex wangu amenicall kuitisha
earphones
zake..nmempelekea earphones nkachukua
simu
yangu..nmemwacha akiziconnect kwa
radio. hata
mimi nmerealise sipendangi ujinga.

6.nimeenda hosi kupimwa
ugonjwa,results kukam
doc ananisho ati choo yangu ni
mbaya....sai
najenga ingine, sipendingi ujinga

7.mlevi anapanda gari alafu conda
anamuuliza"na
hii ulevi yako utaenda mbinguni
kweli"mlevi
akamjibu"k**a mnaenda mbinguni
simamisha
gari nishuke mimi naenda tu apa
ziwa.......…........pia mlevi hapendi ujinga

8.mtoi wa neighbour amenizoea sana.
nikimtuma kitu kwa duka anakula tu.
juzi
nilimtuma mkate akaila, jana nikamtuma
blue
band akala. leo nimemtuma super glue,
saa hii
haongei.ujinga sipendi!..🤣 ye 🤣🤣
9.Sasa Leo Nilienda choo nikarusha mizigo na nyuma sikusikia kuduu 🤣kumbe pia choo .haipendi ujinga

30/08/2026

😁Watu Wa Chelsea hawajui tunaskianga hivo na haturingi😊😂

Address

Westlands

Opening Hours

09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ɭɭ BUGA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category