19/08/2026
Katika siku ya leo ya Kupiga picha Duniani nikiwa mpiga picha Mzawa wa Tanzania nikijikita katika picha za utalii na kuonesha uzuri waTanzania na kwa hamasa hii namshukuru sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri wa Tanzania kwa kuwa Muongoza njia na Kinara katika Masuala ya Utalii Tanzania kwa hakika ameiweka Tanzania juu na kupitia Filamu ya Royal Tour nimehamasika zaidi kufikisha ujumbe kupitia upigaji picha , vile vile nawashukuru sana wadau wa Utalii Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Utalii - Tanzania🇹🇿 Tanzania Unforgettable Tanzania Tourist Board Ngorongoro Conservation Area Tanapa Updates (TANAPA) Tanzania National Parks TAWA TANZANIA Tanzania Forest ServicesAgency Sam Nsyuka Paulina Mk**a Dos S Santos Msemaji Mkuu wa Serikali kwa uchache Taasisi hizi na wadau hawa wamekuwa wakinipatia ushirikiano mkubwa hasa nikiwa katika shughuli zangu za kupiga picha kutalii ikiwa ni kwa lengo la kuonesha uzuri wa Tanzania na Kuhamasisha watanzania waendelee kutembelea vivutio vyetu kupitia Kampeni yangu ya Hashtag . Mwisho usiache kutembelea ukurasa huu kila wakati.