Shot

Shot Hello, everyone welcome to Shot page here we are dealing with Wedding, Event's, Documentary, sendOff

20/08/2026

KAZI KUBWA INAENDELEA KUFANYIKA KATIKA SERIKALI AWAMU YA SITA CHINI YA MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN KAZI INDELEEE , Juma Hamidu Aweso



Ikulu Tanzania

19/08/2026

ZIARA YA MHE MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KATIKA WILAYA YA UBUNGO KUHAKIKISHA MABASI YOTE KURUDI STAND YA MAGUFURI KUCHOCHEA UCHUMI NA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA

SERIKALI IPO KAZINI MHE RAIS DKT Samia Suluhu Hassan KINARA WA MAENDELEO NA KUONA MIRADI YOTE INAENDELEA NA KULETA TIJA KWA WATANZANIA SOTE TUNAWAJIBU WA KUHAKISHA TAIFA LETU LINA ZIDI KUKUA KIUCHUMI NA KUZINGATIA KULIPA KODI Yusuph Juma Mwenda KAZI INAENDELEA

HONGERA SANAA MHE WAZIRI WA MAWASILIANO NA TECKONOLOJIA Angellah Kairuki KWA KUENDELEA KUSIMAMIA MISINGI YA UWAJIBAKAJI KATIKA KUKUZA UCHUMI WA PAMOJA KWENYE KUILETEA MAENDELEO JIMBO LA KIBAMBA



Ikulu Tanzania
Mama Kaja Ltd
Angellah Kairuki

19/08/2026

MAMA LISHE JIMBO LA KIBAMBA WILAYA YA UBUNGO UMEME WETU NI JAMBO MUHIMU LA KUJIVUNIA KWA KUTUMIA KODI ZETU KUTIMIZA NDOTO ZETU TUNAMPONGEZA MHE RAIS DKT Samia Suluhu Hassan KWA JAMBO KUBWA LA KIHISTORIA ,

PONGEZI WIZARA YA NISHATI CHINI YA WAZIRI Deo Ndejembi KWA KAZI NJEMA YA USIMAMIZI MZURI WA MRADI HUU KAZI NA UTU TUNASONGAMBELE





Ikulu Tanzania Mama Kaja Ltd
Mohamed Mchengerwa
Angellah Kairuki

19/08/2026

BWAWALETU UMEME WETU TUMEJENGA WENYEWE KA KODI ZETU Wizara Ya Nishati Deo Ndejembi Ikulu Tanzania Gerson Msigwa
Angellah Kairuki Ofisi ya Waziri Mkuu


Mama Kaja Ltd

16/08/2026

SERIKALI YAWEKEZA ZAIDI YA SHILINGI TRILIONI 7.4 KATIKA MRADI WA UMEME JNHPP

Serikali imeeleza kupitia Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, Deo Ndejembi kuwa imewekeza zaidi ya shilingi trilioni 7.4 katika Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere, JNHPP, mradi unaolenga kuongeza uzalishaji wa umeme na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika nchini.

Serikali imeeleza kuwa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere, JNHPP, kimekuwa na mchango mkubwa katika kuongeza uzalishaji wa umeme nchini.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali imewekeza takribani shilingi trilioni 7.452 katika ujenzi na utekelezaji wa mradi huo.
Kwa mujibu wa Waziri Ndejembi, uwezo wa mitambo yote ya kuzalisha umeme nchini umefikia takribani megawati 4,646.

Kati ya kiwango hicho, Kituo cha Julius Nyerere pekee kinachangia megawati 2,115, sawa na sehemu kubwa ya uwezo wa sasa wa uzalishaji wa umeme nchini.
Waziri amesema hadi tarehe 31 Mei 2026, JNHPP ilikuwa imezalisha takribani asilimia 44.9 ya jumla ya umeme wote uliozalishwa na kuingizwa katika Gridi ya Taifa katika kipindi cha mwaka mmoja.
Takwimu hizo zinaonesha kuwa kituo hicho kina mchango mkubwa katika kuongeza upatikanaji wa umeme na kuimarisha uwezo wa Taifa wa kukidhi mahitaji ya nishati.

Mradi huo pia unatajwa kuwa sehemu muhimu ya juhudi za Serikali za kuongeza uzalishaji wa umeme, kupunguza changamoto za upatikanaji wa nishati na kuweka mazingira bora kwa shughuli za kiuchumi na kijamii.
Kwa wananchi, ongezeko la uzalishaji wa umeme linatarajiwa kusaidia upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa matumizi ya majumbani, biashara na viwanda.
Serikali inaendelea kusisitiza umuhimu wa uwekezaji katika sekta ya nishati, huku JNHPP ikiendelea kuwa moja ya miradi mikubwa inayochangia katika kuongeza uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme.

Wizara Ya Nishati
Ikulu Tanzania
Mama Kaja Ltd

16/08/2026
15/08/2026

NIMEKUJA KWA MAMA KUDEKA KIPENZI CHA VIJANA MHE RAIS DKT Samia Suluhu Hassan 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 KIZIMKAZI KUMENOGA



Ikulu Tanzania
Mwanamke Initiatives Foundation
Kizimkazi Festival
Kizimkazi Kumenoga
WANU AMEIR KHAFIDHI

15/08/2026

KIZIMKAZI KUMENOGA SIKU YA VIJANA WANAO VYUO VIKUU WALIKUWEPO RAIS WA VYUO VIKUU Geofrey Kiliba NDANI YA KIZIMKAZI JAMBO LA MAMA VIJANA TUMEFIKA ,





Ikulu Tanzania
Mama Kaja Ltd
Kizimkazi Festival
Mwanamke Initiatives Foundation

14/08/2026

KIZIMKAZI KUMENOGA SHAGWE NA FURSA VIJANA TUNAKILA SABABU YA KUMSHUKURU MHE RAIS DKT Samia Suluhu Hassan KWA TAMASHA KUBWA LA KUWAKUTANISHA WA TANZANIA WOTE KWA PAMOJA MAMA KAJA






Ikulu Tanzania
Mama Kaja Ltd
Kizimkazi Festival

14/08/2026

TUPO KWA MAMA WA TAIFA MHE RAIS DKT Samia Suluhu Hassan KIZIMKAZI KUMENOGA KAZI KUBWA INAENDELEA TANZANIA NI YA AMANI



Ikulu Tanzania
Mama Kaja Ltd
Mwanamke Initiatives Foundation

Address

Tanga
211XX

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shot posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category